Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
Semeni ukweli
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
Yupo anaendelea na Steve
Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
Y😂😢😮😮😅😅😅
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂
Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊
MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Uyu dada kipenzi changu namkubali sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano
Wewe uolewe naye ❤❤
Uyu dad nampendaga laaans
Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.
😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi
Nitamkujia😊❤❤❤
I love you kidot juu ameongea true
Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi
Atra
Unajuwa
Valasana
Dada
Tenaukomuzurisan❤❤
Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
Nakupenda bule hajra kidoti❤
Nakupend san ❤ ww hajra❤
Ninamtaka,nishaampenda❤️❤️Niko Kenya..🎉
Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi
Reina ❤❤❤
Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
Huyu mwanamke huwa nampenda sana.
Dada kasem kweli
Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
Yuko good sana❤
aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
HAJRA MWAAA VERY NICE
Nakupenda unavyo ongea mashallah huna majigambo umependeza
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰
Can l get contact for that Lady please she is very beautiful
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
Nakupenda cn hajra❤❤❤
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
Je vous en courage mes frères et sœurs un jour je serais là
Kweli kabisa
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko
Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao
Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
Yes
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
😂😂😂😂🙌🙌
Wewe nani?
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
Dada kazi poa
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
Wewe ndio weefy acha kujificha
Mashallah hajira Mashallah
Steve owa
Naomba connection mrembo huyo.
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
Mhhh unamjua
Set timer
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
True
Najua kidoti we mali ya steve..napendaga sana ukuwe wife wa stive mweusi.
Wow Dada mzuri huyu
Kapendeza kweli yan
Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅
Good
Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah
Namu penda hajira ❤
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
Hajra kapendeza jmn
Hongereni
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
Ft
Mzuri sawa ila kuolewa sasa
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye.
.
Alafu kizuri bala
Stive sakapesa
Pao
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
❤❤❤❤
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
😂😂😂😂Hahaha
❤
Hajira ana pendeza sana
Mashallah❤❤❤❤😂
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
Oya
Nice