HAJIRA KIDOTI AMLIPUA STEVE MWEUSI, HATAKI KUOA, HANA MKE WALA MCHUMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2025

Комментарии • 151

  • @OmarNyota
    @OmarNyota Год назад +7

    Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Год назад +6

    Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤

  • @Ramadhan6115
    @Ramadhan6115 Год назад +41

    Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤

    • @VitalBalemba
      @VitalBalemba Год назад +6

      ❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu

    • @ZaharaniAlmahadi
      @ZaharaniAlmahadi Год назад +4

      Semeni ukweli

    • @Ramadhan6115
      @Ramadhan6115 Год назад +3

      @@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 Год назад

      Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 Год назад +7

    Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 Год назад +12

    Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Год назад +20

    Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo Год назад +3

      Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi Год назад +4

      @@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo Год назад +1

      @@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi Год назад +1

      @@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Год назад +1

      Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza

  • @BenemuluBillyado-ji4ze
    @BenemuluBillyado-ji4ze Год назад +8

    Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏

  • @NzabiFaustingabo12hb
    @NzabiFaustingabo12hb Год назад +1

    Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @silassimwamusa4171
    @silassimwamusa4171 Год назад +4

    Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Год назад +8

    Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +4

    Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Год назад +7

    Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉

  • @shukranikasereka716
    @shukranikasereka716 Год назад +7

    Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈

  • @Mpe12339
    @Mpe12339 Год назад +6

    Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩

  • @fatumakidoa4006
    @fatumakidoa4006 Год назад +5

    Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂

  • @kevy254
    @kevy254 Год назад +4

    Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊

  • @Jay_reelx
    @Jay_reelx Год назад +5

    MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂

  • @DjShalom-uw6sk
    @DjShalom-uw6sk 6 месяцев назад +1

    Uyu dada kipenzi changu namkubali sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 Год назад +4

    Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Год назад +4

    Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano

  • @JonathanKibandja
    @JonathanKibandja Год назад +8

    Wewe uolewe naye ❤❤

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Год назад +7

    Uyu dad nampendaga laaans

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Год назад +5

    Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.

    • @dubabaxakatv2993
      @dubabaxakatv2993 Год назад

      😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi

  • @ADVENTUREBYMUPENDA
    @ADVENTUREBYMUPENDA Год назад +5

    Nitamkujia😊❤❤❤

  • @WakusiziboyBarakaGodfrey
    @WakusiziboyBarakaGodfrey Год назад +8

    I love you kidot juu ameongea true

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Год назад +8

    Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 11 месяцев назад +1

    Atra
    Unajuwa
    Valasana
    Dada
    Tenaukomuzurisan❤❤

  • @stitore2388
    @stitore2388 8 месяцев назад

    Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Год назад +5

    Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana

  • @BonithNimpagaritse
    @BonithNimpagaritse Год назад +4

    Nakupenda bule hajra kidoti❤

  • @YunusBakar-lf3bi
    @YunusBakar-lf3bi Год назад +4

    Nakupend san ❤ ww hajra❤

  • @kennedyoloo8259
    @kennedyoloo8259 5 месяцев назад

    Ninamtaka,nishaampenda❤️❤️Niko Kenya..🎉

  • @Mary_sup
    @Mary_sup Год назад +4

    Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад +8

    Reina ❤❤❤

  • @hafidhali4336
    @hafidhali4336 Год назад +4

    Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo

  • @jamalibaruti7126
    @jamalibaruti7126 Год назад

    Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Год назад +5

    Huyu mwanamke huwa nampenda sana.

  • @kudoson_tz
    @kudoson_tz Год назад +9

    Dada kasem kweli

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Год назад +3

    Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila

  • @mancargo_99
    @mancargo_99 Год назад +6

    Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....

  • @JosephuPatrick94
    @JosephuPatrick94 Год назад

    Yuko good sana❤

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f Год назад +4

    aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2

  • @JamesKhisa-yl2br
    @JamesKhisa-yl2br Год назад

    Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI Год назад +5

    HAJRA MWAAA VERY NICE

  • @SaidyKaoneka
    @SaidyKaoneka 8 месяцев назад

    Nakupenda unavyo ongea mashallah huna majigambo umependeza

  • @MsabaaMwenebokyo
    @MsabaaMwenebokyo Год назад

    Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅

  • @SabrinaWiliam
    @SabrinaWiliam Год назад

    Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰

  • @EnosBruno
    @EnosBruno 3 месяца назад

    Can l get contact for that Lady please she is very beautiful

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Год назад +1

    MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE

  • @Njunwa-DK
    @Njunwa-DK Год назад

    Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉

  • @AdrienMathayoadrison
    @AdrienMathayoadrison Год назад

    Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Год назад +1

    Nakupenda cn hajra❤❤❤

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola Год назад +4

    amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Год назад +2

    Steve mwenywe anasemaje😅😅😅

  • @ramadhanabdul2297
    @ramadhanabdul2297 Год назад

    Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa

  • @GabrielSadiki-t8f
    @GabrielSadiki-t8f 6 месяцев назад

    Je vous en courage mes frères et sœurs un jour je serais là

  • @AmooTena
    @AmooTena Год назад +8

    Kweli kabisa

  • @TegemtataChambanenje
    @TegemtataChambanenje Год назад +2

    Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak

  • @EvansNeavy-xv3tv
    @EvansNeavy-xv3tv Год назад +5

    Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko

    • @fatmamusa2757
      @fatmamusa2757 Год назад

      Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk Год назад

      Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 Год назад +4

    Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 Год назад +6

    Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅

    • @DaudAshery-ie2pf
      @DaudAshery-ie2pf Год назад +1

      Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Год назад

    Huyu demu namkubali huyu❤❤❤

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 Год назад +3

    Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu

  • @DamarisKerubo-cm5df
    @DamarisKerubo-cm5df Год назад +3

    Mwambie Steve Niko hapa 😂😂

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 Год назад +3

    Sasa si akuoe mwenyewe ajira

  • @DanielOkisai-i1n
    @DanielOkisai-i1n Год назад +2

    Dada kazi poa

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Год назад

    Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 Год назад +2

    Wewe ndio weefy acha kujificha

  • @SaidyKaoneka
    @SaidyKaoneka 8 месяцев назад

    Mashallah hajira Mashallah

  • @MELOPHILEBOY-oj8uy
    @MELOPHILEBOY-oj8uy Год назад +1

    Steve owa

  • @michaelkitundu1489
    @michaelkitundu1489 Год назад

    Naomba connection mrembo huyo.

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Год назад +8

    Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂

  • @Liliana-mc2su
    @Liliana-mc2su Год назад +3

    😁😁😁stev kavurugwa antk pesa

  • @josekioko3960
    @josekioko3960 5 месяцев назад

    Najua kidoti we mali ya steve..napendaga sana ukuwe wife wa stive mweusi.

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Год назад

    Wow Dada mzuri huyu

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Год назад +3

    Kapendeza kweli yan

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад

    Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅

  • @AfonsojoaōsamakeJoaōsamake
    @AfonsojoaōsamakeJoaōsamake Месяц назад

    Good

  • @NorahMatto
    @NorahMatto 8 месяцев назад

    Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah

  • @JosiasFidele-dz8fg
    @JosiasFidele-dz8fg Год назад

    Namu penda hajira ❤

  • @RAJVIA-u5x
    @RAJVIA-u5x Год назад

    Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊

  • @FarhatSuleiman
    @FarhatSuleiman Год назад +2

    Hajra kapendeza jmn

  • @festobabely7444
    @festobabely7444 Год назад

    Hongereni

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho252 Год назад

    Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu

  • @AdabetErenest
    @AdabetErenest Год назад +2

    Ft

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja 8 месяцев назад

    Mzuri sawa ila kuolewa sasa

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 Год назад +1

    Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye.
    .

  • @MagidaFafa
    @MagidaFafa Год назад +2

    Alafu kizuri bala

  • @JoseMdam-d9c
    @JoseMdam-d9c Год назад +2

    Stive sakapesa

  • @WAIGIZAJIBRAND-l9t
    @WAIGIZAJIBRAND-l9t Год назад

    Pao

  • @Ramyyosy
    @Ramyyosy Год назад

    Hajira mmmmhh sawa nimekupata

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza Год назад +3

    ❤❤❤❤

  • @HarrisonKatana-yv7ee
    @HarrisonKatana-yv7ee 10 месяцев назад

    Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya

  • @ashabady9616
    @ashabady9616 Год назад +3

    😂😂😂😂Hahaha

  • @YusufuLashidi
    @YusufuLashidi Год назад +2

  • @EreukaErasto
    @EreukaErasto 6 месяцев назад

    Hajira ana pendeza sana

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 8 месяцев назад

    Mashallah❤❤❤❤😂

  • @JosephOsanya-ik7bk
    @JosephOsanya-ik7bk Год назад

    Niko kenya huyo demu ni mali safi bana

  • @AmiriMtae
    @AmiriMtae 3 месяца назад

    Oya

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Год назад

    Nice